Ufunuo wa Yohana 20 : 6 Revelation chapter 20 verse 6

Swahili English Translation

Ufunuo wa Yohana 20:6

Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.
soma Mlango wa 20

Revelation 20:6

Blessed and holy is he who has part in the first resurrection. Over these, the second death has no power, but they will be priests of God and of Christ, and will reign with him one thousand years.